Mstahiki Meya wa jiji la Dar es Salaam, Mh Omary Kumbilamoto amefanya ziara katika Karakana yakutengeneza Madawati iliyopo Liwiti ,Madawati haya 25 yamedhaminiwa na Mdau Mkubwa wa Maendeleo Kampuni ya TPPL kwa ajiri ya Shule ya Msingi Kombo iliyopo Vingunguti.
Katika Maelezo yake Mstahiki Meya amempongeza fundi kwa kazi nzuri aliyoifanya na Kumshukuru Mkurugenzi wa Kampuni ya TPPL kwa moyo wake wa upendo wa kuunga mkono Juhudi za Mh Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuboresha masuala ya elimu nchini .
#mo7newsupdates
Post a Comment