Serikali imeondoa malipo ya Fedha na stahiki nyingine alizokuwa akipata Rais Mstaafu wa Taifa hilo, EdgarLungu baada ya uamuzi wake wa kurejea kufanya Siasa wakati Katiba ya Nchi inataka Rais Mstaafu kutoshiriki katika Siasa za kuwania Madaraka ili anufaike na marupurupu
Lungu alipoteza Urais kwa HakaindeHichilema Mwaka 2021, alipotangaza kurejea katika Siasa alisema anarejea kupigania na kutetea Demokrasia ya Taifa hilo na kukinusuru Chama chake cha zamani cha #PatrioticFront
Stahiki hizo ni Walinzi watatu, Pasipoti ya Kibalozi, Magari 3 ya Serikali, Nyumba, Bima ya Afya na gharama za mazishi yake.
Post a Comment