banner

Friday, October 27, 2023

TULIA ASHINDA URAIS WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

TULIA ASHINDA URAIS WA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)




Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) katika uchaguzi uliofanyika leo Oktoba 27, jijini Luanda nchini Angola.


Dkt. Ackson amechaguliwa kwa kupata kura 172 kati ya kura 303 zilizopigwa na anarithi mikoba ya rais aliyemaliza muda wake, Duarte Pacheco kutoka Ureno aliyekuwa rais wa IPU kwa mihula mitatu.



Post a Comment

Whatsapp Button works on Mobile Device only

Start typing and press Enter to search